Vannesa Akanusha Kuongeaza Matiti.
Mwanadada anaetamba na kufanya vizuri kwa sasa na wimbo wa thats for me Vannesa mdee amefunguka na kukanusha taarifa kuwa amefanya surgery na kuongeza sehemu ya mwili wake hasa upande wa matiti.
Akiongea na refresh ya wasafu tv, vanesa aliulizwa swala la kizushi kuhusu miwli wake kuwa sehemu kubwa ya maziwa yake kwa sasa iameongezeka na sio kama ilivykuwa hapo awali, mwanadada huyo alisema kuwa habari hizo sio za kweli na kwamba hajafanya kitu kama icho.
Akiongea kwa kujiamini, Vanesa anasema kuwa katika maisha yake hajawahi kufanya upasuaji kwa ajili ya kuongeza kitru chochote katika mwili huo na hata swala la maziwa watu wamekuwa wakimwangalia kwa wasiwasi lakini hajafanya chochote.
I dont have any surgery in my body not any, labda nikiwa na mtoto ninaweza kufanya lakini kwa sasa i dont have any.Namshukuru Mungu mwili umekubali.