Tatoo Mpya ya Diamond Yachanganya Mashabiki.
Msanii Diamond platinumz amechora tatoo mpya mkononi mwake tatoo ambayo imeacha maneno mengi kwa mashabiki na kuhoji kwanini kujiongezea tatoo wakati tayari anazo nyingi za kujaza mwili.
Tatoo hiyo ambayo ilisambaa sana katika mitandao ya kijamii siku ya jana , iliacha gumzo zaidi kutokana na muonekano wake na herufi zilizokuwepo katika tatoo hizo ambayo watu wanahisi kuwa ni herufu a mwanzo za majini ya watoto wake.
Tatoo iyo ina herufi N, D,T, N in asemekana kuwa ni majina ya watoto wake watatu Nillan, Dylan , Tifaah na jina lake yeye mwenyewe.