Mwanadada anaesifika katika mitandao kwa ajili ya kukososa na kutoa siri za wasanii na watu wengi marufu nchini Mange Kimambi amemtolea uvivu msanii wa bongo fleva Shiloleh baada ya msanii huo kumkosoa Muna love kwa kufanya press conference na kuelezea scenario ya kifo cha mtoto wake.
Katika press hiyo ambayo muna aliamua kuweka wazi juu ya mahusiano yake na Peter ambae ndie iliyesemekana kuwa ndie baba wa mtoto na kusema ukweli kuwa mtoto ni wa Casto, aliwagusa watu wengi akiwemo shihsi ambae alianza kumtukana muna kwa kumwambia kuwa alipaswa kusubiri mpaka 40 ya mtoto wake ipite.
Hata hivyo Mange kimambi nae alikuja kuibuka na kuanza kumtolea mapovu shishi na kumwambia kuwa wasanii wengi wa bongo wamekuwa na tabaia ya kuchagua watu wa kuwakosoa kwa kuwaona kama wanaweza kubishana nao au la na ndio maana imekuwa raisi kwa shiloleh kumsema Muna.
kwa mujibu wa Mange kimambi anashangazwa na shiloleh kwa sababu mambo kama hayo yaliwahi kutokea huko nyuma kwa baadi ya wasanii lakini hakuwasema kama alivyomsema Muna sasa hivi.lakini pia sio kwa kumuonyesha kumschukia Muna au Shiloleh Mange kimambi anasema inawezekana shilole akawa yuko sawa lakini kwanini hakuwahi kuwa-judge na waliowahi kufanya hivyo huko nyuma