Idris Aifurahia Sex Tour, ni Zaidi ya Comedy

Mchekeshaji maarufu anaezidi kupanda kwa kasi katika tasnia ya sanaa upande wa vichekesho vya jukwaani ,Idris Sultan amefunguka na kusema kuwa wazo lake la sex tour limezaa matunda makubwa kuliko hata vile aliwaza hapo awali.

Idris anasema kuwa sex tour imekuwa tamsha kubwa kuwahi kutokea nchini lenye mafanikio zaidi hata matamasha ya muziki nchini na ndio sababu iliyomfanya kupata hata dili kubwa huko Afrika ya kusini.

Idris amepata mualiko na dili kubwa afrika ya kusini katika central comedy ya nchi hiyo huku akisema kuwa baada ya kuona amefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika sex tour ambapo alianza kwa kuhamasisha vijana kujua afya zao na kisha kuanda kipindi cha comedy kwa mashabiki zake lakini cha kushangaza ni kwamba walijitokeza watu wengi hata wengine kukosa ticket.

Happy Birthday Mume Mwenzangu ;-Idrisa kwa Diamond

Mchekeshaji Idrisi Sultani ametuma salamu za sikukuu ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa msanii mwenzake Diamond Platinumz kwa kumuita mume mwenzake huku pia akitoa baadhi ya maneno ya kashafa kwa wanawake ambao ameshare nao.

katika ukurasa wake wa twitter,, Idris alisema kuwa pamoja na yote Diamond akae akijua kabisa kuwa wanawake anaotembea nao ambao na yeye anatembea nao wamekuwa wakimsimulia baadhi ya mambo ambayo wamekuwa wakifanya wanapokuwa katika mahusiano.

Idris aliandika ”  by the way happy birthday mume mwenzangu  kwa naniii na nanii na nanii pia kwa kukumbuka tu haraka haraka huwa wananiadithiaga kwaio kaza mwamba.”

Idris na diamond waliripotowa kuwa na mahusiano ya mwanamke mmoja kwa wakati tofauti ambae alikuwa ni Wema sepetu lakini ilikuja kuvuja tena kuwa Idris amekuwa na mahusiano ya kimapenzi ya siri na mwanadada LYNN.