Msanii Diamond Platinumz amfunguka na kuwataka wazazi wenzake kuwa na ushirikiano baina yao na kuondoa matabaka kati yao ili kuleta ushirikiano mzuri kati yao na watoto pia, Diamond anasema kuwa inabisdi ifike sehemu wazazi hao waweze kuwa pamoja katika baadhi ya mambo muhimu ya kifamilia .
Diamond anasema kuwa zari na hamisa wote ni washkaji zake tu na hakuna anataka ibaki hivyo ili hata inapotokea anapokuwa karibu na mmoja wapo isiwe swala la kuzua gumzo bali ionekane kama washkaji lakini pia kama wazazi.
Nawapenda sana watoto wangu na mama zao watabaki kuwa tu washkaji zangu,sitaki ple ninapoonekana na hamisa au zari basi inaonekana big ishgu hapana wote ni wazazi wenzangu.na nataka hata inapotokea kuna birthday ya familia moja basi pande zote mbili ziwepo.
nawashukuru sana kwa malezi yao mazur lakini pia wanapaswa kuwajengea watoto upendo sio tu kwangu mimi ila hata kwa bibi yao na ndugu zao wengine maana maisha yenyewe mafupi.