Steve Nyerere Anatafuta Riziki Kupitia Sisi :-holystar.

Msanii wa bongo movies ambae pia ni mpenzi wa Sister fey, Holy star a,efunguka na kusema kuwa katika vitu mabavyo mpenzi wake sister fey amemuudhi ni kumuongelea sister fey kwa sababu steve ana tafuta riziki kupitia wao kama alivyowahi kufanya katika msiba wa Muna.

Holy star anayasema haya ikiwa zimepita siku tangu Steve Nyerere kuongelea mahusiano ya Sister fey na holystar ambapo  baada ya hapo sisterfey alimjibu na ndipo mpenzi wake huyo aliposema kuwa Sister fey hakupaswa kumjibu chochote kwa sababu steve anatafuta kiki.

download latest music    

kitu alichoniudhi  ni kumzungumzia steve kwa sababu mwenzetu anatafuta riziki, kama alivykuwa akitafuta riziki katika msiba wa muna pale katikati lakini riziki ikachuja na sasa hivi ameona bora atafute kupitia huku kwetu.unajua steve ameka anazungumza na kusema mke wangu afungiwe miaka 18, sasa anataka mimi niishije yaani,kwa mtoto wa kiume huweiz kukaa miaka 18 bila mwanamke.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.