Sitokaa Nigombane na Ex- wa Moze Iyobo.:-Aunty

Msanii wa bongo movie ambae pia ni fanya biashara Aunty Ezekiel, amekiri na kusema kuwa alikuja kukaa na kugundua kuwa kugombana na aliyekuwa mwanamke wa baba wa mtoto wake kwa sasa ni jambo lilisilokuwa na maana na kusema kuwa hatokaa afanye jambo hilo tena.

Aunty ana sema kuwa hata kama wangekuwa wanagombana miaka yote isingeweza kubadilisha majina ya watoto wao au kuvunja uhusiano wa baba na mtoto na pia isingeleta picha nzuri kwa mtoto baadae hivyo aliona bora kuachana na mambo hayo.

download latest music    

katika vitu ambavyo vilipita na nikaandika , nilisema sitakaa nigombane na mwengi hata siku moja., tena kwa sababu nimekuja kugundua kuwa ni ujinga tu na kla kitu kina mwisho na katika kugundua kwangu nilijua kabisa yule mtoto hatokuja kubadilisha jina lake la mwisho kuwa ni wa moze.kwa sababu miwsho wa siku ataitwa fuani fulani iyobo na ndivyo itakavyokuwa na kwa cookie m na sasa hivi mitandao ni mingi mwisho wa siku wamekuja kukua waje waone kuwa mama wa huyu na yule walikuwa wanagombana , haitaleta pcha nzuri.

Baba wa mtoto wa Aunty Ezekiel ambae pia ni mcheza dansa maarufu wa Diamond Platinumz amekuwakatika mapezni na aunty kwa zaidi ya miaka minne sana na kupata mtoto wa kike mmoja lakini kabla ya hapo mwanaume huyo alikuwa katika mahusiano na mwanadada  mwengi na kubahatika kupata mtoto wa kiume na amekuwa akimuweka sana katika mitadano ya kijamii ambapo hapo awali Aunty alikuwa akitukanana sana na mwanamke huyo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.