Shilole Awachana Watu Wanao ‘Fake’ Maisha
Msanii wa muziki wa Bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole amefunguka na kusema kuwa hakuna kitu kinamchukiza kama watu wanaopenda kudanganya kuhusu maisha yao.
Shilole amefunguka hayo kwenye mahojiano na kipindi cha ‘Uhondo’ cha EFM ambapo amewataka watu kuwa wakweli kuhusu maisha yao na sio kudanganya wengine kama wana maisha mazuri wakati ni uongo.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Shilole ameandika maneno haya:
https://www.instagram.com/p/Btin7GvB5ie/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=x6kg9xerd025