Shilole Awachana Watu Wanao ‘Fake’ Maisha

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole amefunguka na kusema kuwa hakuna kitu kinamchukiza kama watu wanaopenda kudanganya kuhusu maisha yao.

Shilole amefunguka hayo kwenye mahojiano na kipindi cha ‘Uhondo’ cha EFM ambapo amewataka watu kuwa wakweli kuhusu maisha yao na sio kudanganya wengine kama wana maisha mazuri wakati ni uongo.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Shilole ameandika maneno haya:

https://www.instagram.com/p/Btin7GvB5ie/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=x6kg9xerd025

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.