Ray C Awataka Watu Wajitokeze Kumsaidia Zaidi Rose Muhando
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila maarufu kama Ray C ameibuka na kuwataka watanzania wote kuungana na kumsaidia Msanii mkongwe wa nyimbo za injili Rose Muhando.
Ray C ameweka wazi kuwa mpaka hivi sasa Rose Muhando yupo tu nchini Kenya ambapo makazi yake yapo lakini hana msaada wowote hivyo ameitaka serikali na wananchi kwa ujumla kujitokeza na kumsaidia Rose Muhando.
Kipitia ukurasa wake wa Instagram, Ray C ameandika maneno haya kutokana na maradhi yanayomsumbua msanii huyo wa nyimbo za injili:
https://www.instagram.com/p/BqpeRXTls6I/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=17h9a99f7xnox