Ommy Afunguka Nyimbo Anazozipenda WCB.
Msanii wa muziki kutoka rockstar nation anaefanya kazi na alikiba amefunguka na kusema kuwa kuna nyimbo anazipenda sana kutoka katika lebel ya wcb ambayo bosi wao ni Diamond Platinumz.Ommy anasema kuwa wasanii anaowakubali ni pamoja na harmonize na rayvanny na nyimbo zao mpya za sasa hivi.
moja ya nyimbo ninazozipenda ni pamoja na hiyo ya kwangaru ya harmonize inayofanya vizuri, kuna mwingine niesikia wa rayvanny wa pochi nene , kwaio kwa currently nyimbo ninazowz kusema ninazikubali ni hizo mbili.
Hata hivyo alipoulizwa kuhusu ugomvi alionao na Diamond , Ommy alisema kuwa kila kitu kina muda wake hivyo muda wa kumaliza bifu ukifika tu tutamaliza tu”kila jambo lina wakati wake muda ukifika litakaa sawa.”