Niko Kwenye Mahusiano Tena Yenye Furaha Kabisa ;-Mwasity

Mwanadada Mwasiti amefunguka na kutangaza kuwa kwa umri wake mpaka sasa kusema kuwa  hayupo katika mahusiano ni uongo kwa sababu sio kweli hata kidogo, Mwasiti aliamua kufunguka na kusema kuwa yeye kwa sasa yuko katika mahusiano yenye amani na furaha kabisa.

mwasiti anasema kuwa ni aibu kubwa katka umri wake kusema kuwa hana mahusinao kwa sababu kusema hivyo ni kumaanisha kuwa hafatwi hata na mtu mmoja wakati kiuhalisia iyo so kweli.

download latest music    

Akiongea na FNL, na Sam misago, Mwasiti anasema kuwa “niko kwenye mahusiano, mahusiano yenye furaha kabisa,  na ni mazuri tu kwakweli na kwa umri niliofikia kwenda katika interviews kila siku na kusema kuwa mimi niko single ni aibu kubwa sana.

Watu wengine wamekuwa wakikataa kusema kuhusu mahusiano yao hadharani . lakini mwasiti anaona kuwa kumtaja  mwanaume wako ni swala la kawaidia tu na wala halina shida yoyote.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.