Neema Ndepanya Amchana Live Uwoya , ni Baada ya Wema Kushinda Tuzo

Wasani wa kike wa bongo movie Uwoya, Wema na Neema Ndepanya wameingia katika ugomvi mzito baada ya Neema kuamua kumuanika Irene Uwoya live na kusema kuwa amekuwa akimuonea wivu sana Wema sepetu wakati sio saizi yake.

Maneno ya Neema yanakuja baada ya siku ya jumanne Irene Uwoya kuweka picha na kuandika caption ya majungu huku ikiwa haionyeshi ni  nani alikuwa akisemwa katika post hiyo alindika “maumivu yakizidi muone daktari”

download latest music    

Neema Ndepanya ndipo alipoamua kumjibu kwa kumwambia”sarafu queen , maumivu yameshazidi tumemuona daktari na dozi tumeipata na tunaileta kwako kama ifuatavyo…wengi wanaijua sarafu series inayoruka DSTV na series hiyo ilisababbishwa na wema sepetu na  kuandikwa na mimi hapa na demo yake ikachezwa na wema,…..wema sio saizi yako na dau la wema lilikuwa kubwa sana na ndio maana waliamua kukufuata wewe hapa.kutokana na bajeti yao kubana ikabidi wakufuate wewe hapa  na kukupa ela ya kuosha gari la kubebea nyama..hivi wakati wanamfuata wema hawakukuona wewe, sanaa yako ya kutoa macho kama umebanwana gari la budege..”

Neema anaendelea na kusema kuwa nafasi za wema nyingi anacheza Uwoya kutokana na kuwa Wema amekuwa akikataa kulipwa ela ndogo, hata hivyo  neema anamwambia iren kuwa amekuwa akijifanya anajua kingerza kumbe hakuna kitu na wala hawezi sanaa ya kujipambanisha na Wema.

Neema ndepanya ameamua kumshauri Irene kwa kumwambia kuwa inabidi ajifunze kusifia kazi za wenzake ili aweze kusonga mbele sio kuwa na chuki na mafanikio ya watu wengine.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.