Yobnesh Yusuph anayejulikana kwa umaarufu kama ‘Batuli’ amedai kuwa yeye hana beef yoyote na mwigizaji wa kibongo, Irene Uwoya. Mwigizaji huyo aliendelea kusema kuwa Uwoya ndiye anapaswa kueleza beef yao inatokana na nini kwani yeye ndiye anayesambaza maneno haya.
Batuli
Batuli aliendelea kusema kuwa hana muda wa kuanzisha ugomvi na mtu yoyote haswa Uwoya. Kulingana na yeye amewazibia watu macho na maskio wanoeneza stori hizi mitandaoni. Batuli alisema,