Mange Kimambi Ampokea Shetta Kwa Mikono Miwili
Mwanamama maarufu kwenye mitandao ya kijamii Mange Kimambi amefunguka na kusema yupo tayari kuolewa na staa wa Bongo fleva Shetta Baada ya kuweka wazi hisia zake.
Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5, Shettta aliweka wazi kuwa anamkubali sana Mange Kimambi na hata kudai kuwa angependa kama angeweza kuwa Mpenzi Wake na hatimaye kufunga naye ndoa.
Mange amemjibu Shetta na kusema kuwa yupo tayari kufunga naye ndoa na kwa pamoja waweze kulea watoto wao.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mange amemuandikia Shetta Ujumbe huu:
https://www.instagram.com/p/BrQ5ZsigamT/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1xb5kl9rsf6ch