Mange Amtaka Wolper Asirudi Kwa Harmonize Maana Ameachwa na Mzungu
Mange Kimambi ameibuka na kumfungukia Staa wa Bongo movie Jacqueline Wolper kuhusu kurudiana na Ex Wake Msanii wa Bongo fleva Harmonize na kumtaka asijaribu.
Mange ameongea hayo Baada ya kuwepo kwa taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Wolper na Harmonize wamerudiana Baada ya kuonekana pamoja wakiwa beneti kwenye tamasha la Wasafi Festival.
Mange amemchana Wolper na kumtaka kutorudi kwa Harmonize kwa sababu hana mapenzi ya kweli kwake kwani amerudi Baada ya kuachwa na Sarah ambaye amemtimua Nyumba waliokuwa wanaishi.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mange Kimambi ameandika:
https://www.instagram.com/p/Bq8-aiHAvPK/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=wwhqlwlkrzki