Manara Amkingia Kifua Diamond
Moja ya watu wanaojihusisha sana na soka Tanzania Hajis Mananra amefunguka na kumkingia wa kifua msanii Diamond na wenzake ambao wamekuwa wakishinda mitandao kutwa kujaribu kutetea haki zo kwa Naibu waziri ambae ameibuka na sera ya kuwafungia wasanii kwa madai kuwa wanaimba nyimbo zisozokuwa na maadili katika jamii.
Hivi karibun Diamond aliongea katika mdia moja na kusema kuwa hata kama atatakiwa kulala jela kwa sababu ya muziki basi atafanya ilimradi kutetea haki ya muziki kwa sababu wau wanaofungia muziki huo hawajui historia ya muziki wala msanii wanaemfungia.
Hajis mManara anasma kuwa pamoja na kwamba wasanii wanwza kuwa wamefanya kosa lakini wanapaswa kuangaliwa kwa jicho la pli na kwa upande wa Diamond ni msanii mkubwa mbae amekuwa akiiwakilisha nchi katika mambo mbalimbali na hata kjuitoa kwa ajili ya jamii.
ngoja na mimi nispitwe na hili..inawezekana kuwa kama binadamu anaweza kuwa amekosea , lakini inabidi tutambua kuhusu muziki wa kisasa na soko lake linataka nini..by the way diamond na wenzie tunawatumia sana katika maswala ya kijamii na hata kampeni zetu za kisiasa,na huyu ni brand kubwa ,,,walau tufanye staa kidogo na tujitaidi tupende vya kwetu.
nb.mimi napenda muziki mzuri sina cha timu wala cha baba yake na timu….hawakawii wabongo. @diamondplatinumz
Hata hivyo bado vita kati ya Diamond na Naibu waziri katika mitadaoya kijamii ni kubwa kutokana na kurushiana kwa maneno , na pia waziri mwenye mamlaka husika anssema Diamond hapaswi kulewa umaarufu wake.