Kwa Mara ya Kwanza Irene Aongea Alivyoguswa na Kifo cha Masogange

Msanii wa kike wa bongo moviea  Irene Uwoya amefunguka na kuongea kwa mara ya kwanza tangu msiba wa marehemu Agness Masogange ulipotokea na mpka aulipoisha huko kijijini kwao.Irene ambaye alikuwa rafiki mkubwa wa masogange aliuonekana kuumia sana na msiba huo kwa sababu alikuwa rafiki yake wa karibu sana na ndie alikuwa mtu wake wa kila siku katika maisha yake.

Katika ukurasa wake wa instagram, Irene Uwoya aliandika” Siku zitapita na miaka itapita lakini nitakukumbuka daima,rafiki wa kweli na mwenye mapenzi ya dhati moyoni…najua hata ningetangulia mimi najua ungefanya kama nilivyofanya mimi…nitaendelea kukulilia kwa machozi ya ukimya na kutabasamu kwa tabasamu la huzuni kwa kwuweza kutimiza ndoto yako japo hukufanikiwa kuiona..wewe ni mwanamke shujaa !!!pumzika kwa amani …i will always  love you.

download latest music    

Siku moja kabla ya mazishi ya masogange, Irene uwoya alichora tatoo yenye jina la Agness kama njia ya kuendelea kukumbuka urafiki wake na masogange.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.