Kesi ya Babu Tale Yahairishwa, Arudishwa Tena Rumande

Mkurugenzi wa kampuni  ya Tip Top Connection Babu Tale mapema leo alifikishwa mahakamani kufatia kesi ya madai dhidi ya Sheikh Hamis Mbonde baada ya Babu Tale kutumia masomo ya Sheikh huyo katika maswala yake ya kibiashara bila kuwa na hati miliki kutoka kwa mwenyew.

Babu tale ambae alikamatwa tangu siku mbili zilizopita amekuwa akifikishwa mahakamani hapo  lakini  hakimu aliyetoa hati ya kukamatwa kwake hayupo hivyo kufanya kesi hiyo kuhairishwa.

download latest music    

Babu tal alipewa hukumu ya kulipa fidia ya shilingi milion 250 lakini hakufuatilia hukumu hiyo kwa muda tangu mwaka 2013 na ndipo  hakimu alipotoa hati ya kukamamtwa kwakwe tangu february mwaka huu lakini mtuhumiwa amekuwa akikosekana kila anapotumia hati ya kufika mahakamani au kukamatwa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.