Irene Uwoya Awakanya Wanaopiga Picha za Uchi.

Mwanadada Irene uwoya amefunguka na kuwashauri baadhi ya watu wanaodhani kuwa kupiga picha za uchi na kuweka katika mitandao ya kijami kunasaidia kuwapatia umaarufu kama ambavyo wadada wengi sasa wamekuwa wakifanya.

Irene anasema kuwa hata kama kuna mtu anataka kuwa msanii anatakiwa afuate misingi mizuri ya kuwa msanii kwa kufanya kazi nzuri na wala sio kupiga oicha za nusu utupu na kuweka katika mitandao ya kijamii kama inavyozoeleka.

download latest music    

Mimi nadhani kuna watu ambao wanashindwa kutambua swala hilo,una tofauti kati ya kuwa star na kufanya kitu unachokipenda mabacho kinaweza kukupelekea kuwa star moja kwa moja.

Irene Uwoya ni moja ya wasanii ambao waliwahi kupiga picha za nusu utupu na kuweka katika mitandao lakini kwa sasa ameonekana kubadilika kutokana na kutambua nafasi yake katika jamii lakini pia aliwahi kuitwa na TCRA na kuambiwa kuiomba jamii msamaha kwa makosa yake ya kuweka picha za uchi katika mitandao.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.