Hamisa Mobetto Afunguka Haya Kuhusu Mpenzi Wake Mpya
Mwanamitindo na msanii wa muziki wa Bongo fleva nchini Hamisa Mobetto amemuanika mpenzi wake mpya Kupitia ukurasa wake wa Instagram na kuthibitisha mahusiano.
Baada ya tetesi kusambaa kwa muda wa siku kadhaa hatimaye Mobetto amefunguka mahusiano yake na Mwanaume ambaye ameweka Kupitia mitandao ya
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Hamisa ameweka picha yake akiwa na mwanaume huyo ambaye bado hajajulikana jina mpaka hivi sasa na kusindikiza kwa maneno yaliyosomeka:
Roho mkalia moyo ?…….. #Mymirindanyeusi #Mybiggiey #Naurefuwanguwotehapanimekuwamfupi ??“.
https://www.instagram.com/p/Bp8sjX-BUUG/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=fgf4pw6gsl98