Familia ya Diamond Yaamisha Mapenzi kwa Mobeto.

Wanasemaga huu mchezo hautaki hasira, na kweli maana hii inadhihika katika familia ya msanii mkubwa bongo Diamond Platinumz na familia yake mabo kipindi cha kwanza walikuwa hawaonyeshi mapezni yoyote kwa mtoto wa Diamond aliyekuwa amezaa na Hamisa Mobeto lakini siku za hivi karibuni mambo yameanza kuiva.

Kipindi Diamond ana mahusiano mazuri na Zari the Bossy , katika akaunti yake ya instagram alikuwa akiweka picha za watoto wake wawili Tiffa na Nilan ambao amezaa na Zari na ikafika muda hata mashabiki zake walikuwa wakimuandana na kumsema kwanini hakuwahi kumpost Dully ambae ni mtoto wa Hamisa.

download latest music    

Ukienda kwa mama yake na Diamond pia , alishawahi kugombana na mshabikizake hata kuwajibu vibaya kwa sababu tu ya kuwa haweki picha za mjukuu wake upande wa Hamisa.

Hivi karibuni Diamond Platnumz aliweka comments aktika picha ya mama yake huku akimsifia mamayake na kutaja jina la dully , mtoto aliyezaaa na hamisa.Diamond aliandika “mama yangu mama…mama nasubi mamaaa..bibi dully  bibii..

Hapohapo kwa chini Esma pPlatinumz aliandika kwa kuongezea” alafu @diamondplatinumz dully kafanana nae mdomo@mama_dangote.”

Hii inaonyesha kuwa wawili hao hata kama hawajarudiana lakini wamekuwa na maelewano na kuamua kulea watoto wao wakiwa pamoja na kuwa na familia yenye furaha ingawa watu wengine wamekuwa wanahoji kwanii haya yote yatokee kipindi hiki ambacho Zari ametangaza kuachana na Diamond.Je ni kweli kuwa wawili hao wamerudiana.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.