Diamond Platnumz na Tanasha Wapigana Mabusu Hadharani (video)
Msanii wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz na Mpenzi Wake Mpya Tanasha Donna wanaonekana wapo katika mahaba mazito na wanayaonyesha Hadharani.
Tukio hilo limetokea siku chache zilizopita baada ya Diamond na Tanasha kuhudhuria hafla ya Haji Manara ambapo alikuwa anafungua foundation yake na kutambulisha perfume yake rasmi.
Diamond na Tanasha walikuwa miongoni mwa wageni katika Shughuli hiyo ambapo walionekana karibu wakati wote na zaidi walikuwa katika mag a mazito kwani walikuwa wanapeana mabusu hatari.
Hii ni video inayowaonyesha Diamond na Tanasha wakiwa katika mahaba mazito: