Diamond Platnumz Aanika Ndege Mpya Ya Wasafi Festival
Msanii wa muziki wa Bongo fleva nchini na CEO wa WCB Diamond Platnumz ameitambulisha ndege ambayo itakuwa na jukumu la kubeba wasanii Watakaoperfom perfom kwenye stage ya Wasafi Festival Mombasa.
Ndege hiyo inadaiwa kuandaliwa na waandaaji wa shoo hiyo ambapo watatumia wasanii wa WCB kuwachukua jijini Dar na kuwapeleka Mombasa maalum kwa ajili ya shoo huku wengine wakidai amenunua Diamond japo mwenyewe bado hajaweka wazi kama ni ya kununua ama ya kukodi.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond ameandika maneno haya: