Diamond Anafanya Kazi , Sijui Kama Analala:-Master Jay
Mtayarishaji na mzalishaji wa nyimbo mkongwe Tanzania , Master jay amefunguka na kusema kuwa washngae mafanikio ya Diamond kwa sababu yanatokana na juhudi zake mwenyewe na kujituma kwingi bila kuchoka wala kukataa tamaa.
kwa wale wanaomjua diamond kwa ukaribu wanajua kabisa kuwa hivi vitu anavyopata sasa havijaja kirahisi, ni mtu ambae anafanya kazi, sijui hata kama analala , anafanya kazi kwa bidii sanaa,kwaio hata haya matunda tunayoyaona leo ni mafanikio ya juhudi zake.
Kwaio sasa hivi mimi ninaona anaanza kupata matunda ya kazi zake na ninafurahi sana na nina mshukuru Mungu.
Ukiachana na kazi za musiki ambazo diamond amekuwa akifanya lakini pia ameingiza bidhaa sokoni kama paerfum na karanga lakini pia sasa hivi yuko na wasafi Tv