Diamond Ahojiwa na Kuachiwa kwa Dhamana, Atahojiwa Tena.-Kamanda wa Polisi

Msanii Diamond Platinumz ambae aliwekwa kituo cha polisi kwa muda ili kutoa taarifa ya kile kilichokuwa kikisambaa katika vyombo vya habari kuhusu kuvuja kwa picha  na video chafu katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha yeye na wanawake wwili tofauti wakiwa katika hali ya usiri videoambazo hazikupaswa kuwa wazi kama zilivyosambazwa.

Diamond alimaliza mahojiano hayo siku hiyo hiyo na kuachowa kwa dhamana na polisi kuthibitisha kuwa ni kweli alikuwepo kituoni na ametoa ushirikiano uliohitajika na ameachiwa mpaka uchunguzi uatakapo kamilika na kuhojiwa tna siku watakapo mhitaji.

download latest music    

kamanda mambo sasa alisema kuwa diamond ameachiwa kwa dhamana”alihojiwa jana na kuachiwa kwa dhamana, lakini upelelezi unaendelea”

Diamond na Nandy walikamatwa na polisi baada ya kutuhumiwa kwa kosa la kusambaza picha chafu zisizokuwa na maadili katika mitandao ya kijamii.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.