Diamond Aacha Historia, Akabidhiwa Ardhi Kenya.

Msanii wa muziki diamond latinumz ambae ameamua kufanikisha swala la kuwa miongoni mwa wasanii ambao wametoa album za nyimbo zake  amepewa zawadi nono nchini kenya.diamond ambae amefanya uzinduzi wa album yake ya A Boy From Tandale  March 14 nchini Kenya, show ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu  na watu wa nchini humo huku wakijiona kuwa na heshina na thamanikubwa kwa msanii huyo kutokana na ukweli kwamba Diamond angeweza kufanya show hiyo nchi yoyote lakini aliamua kuifanya nchini humo.

Hata hivyo watu wa nchini Kenya pia waliamua kurudisha shukrani zao kwa msanii huyo na kuamua kumpatia zawadi ya kipande cha robo heka ya ardhi nchini humo.

download latest music    

Katika shoe hiyo diamond aliambatana na familia yake pamoja na team yake nzima ya wasafi huku msanii mkubwa Dunianai Omarion akija Afrika kwa ajili ya kumpa sapoti.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.