Baraka The Prince Mbaroni kwa Utapeli Wa Mapenzi
Msaii wa bongo fleva Baraka The Prince ametiwa mbaroni baada ya kusemwa kuwa amemtapeli mwanadada mmoja ambae inasemekana akuwa alimpatia pesa kaisi cha shilingi milioni tano kwa ajili ya kuwa nae katika mahusiano lakini ilishindikana.
Tetesi zinadai kuwa mwanadada huyo aliamua kumpeleka baraka polisi baada ya kukubaliana kupatiana penzi kwa shilingi milioni tano lakini Baraka alishindwa kufanikisha hilo na ndipo walipofikishana polisi.
Hata hivyo tetesi zinasema kuwa baraka alipokea pesa hiyo lakini Alishindwa kutekeleza huku pesa hiyo akiamua kuinunulia gari.