Baraka ni King’asti Kwa Naj;-Rommy Jones

Rommy Jones ni moja ya ma-Dj maarufu kutoka katika lebel kubwa ya wasafi chini ya mwanamuziki  nguli na anaefanya vizuri duniani kote Diamond Platinumz, amefunguka dj huyo baada ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili za kuwa amemtongoza mwanamke wa msanii Baraka the Prince anaejulikana kama Najma Datani.

                                        

download latest music    

Akiongea na dizzim online, Rommy anasema kuwa kwake yeye kilichokuwa kinazungumziwa ni baishara hayo maswala ya kutongozana yalikuwa yamekuzwa na Najma mwenyewe, hata hivyo rRommy anasema kuwa hawezi kukaa katika media akamzungumzia Baraka kwa sababu hana uwiano wowote wa kukaa na kumzungumzia Baraka kwa sababu Baraka ni king’asti kwa Najma.

Baraka ni kingasti kwa naj, mimi kwanza uwezi kunifafanisha na baraka hata siku moja, am paying my own bills, ninapokea mishahara kama kumi hivi, nalipwa na watu wengi wakubwa na siwezi kukaa nikaanza kuzungumzia swala la naraka aaaah sijui rommy katongoza mwanamke wa baraka .ukizungumzia maswala la kutongoza yule mwanamke ndio aliyafanya yaonekane kuwa makubwa kwa sababu mimi nilifanya kuzungumzia biashara maana mimi ninafanya biashara.

pointi ya kuongea nae ilikuwa ni kuanda shoo, Najma mimi nimemjua miaka kumi iliyopita huko kwanini sikumtongoza,nimtongoze leo.

Siku moja iliyopita baraka aliweka post yenye picha ya Rommy na kuandika kuwa andhamilia kumuumbua Rommy kwa yale anayoyafanya yasiyoendana na yeye , hata hivyo kabla hajaweka wazi kitu hicho zilivuja picha zikionesha meseji kati ya  Najma na Rommy ikionekana kama Rommy akimtongoza Najma.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.