Aunty Lulu Apanga kumlonga Diamond Ili Aweze Kuzaa Nae.

Ingawa hapo karibuni mwanamuziki Diamond Platinumz alisema kuwa moja ya vitu anavyoangalia sana na kujifunza ni kutumia kinga ili kuweza kuepuka kupata watoto wa nje ya ndoa kama ilivyotokea hapo awali kwa wanawake wengine lakini bado kuna wanawake wana ndoto ya kuzaa na mwanamuziki huyo.

Moja ya wasanii wa bongo movies aunty lulu amefunguka na kusema kuwa hata yeye ataenda kwa waganaga ili amloge Diamond ili aweze kupata nae mtoto kwa sababau anatamani sana mtoto na msanii huyo.

download latest music    

Diamond anasema kwa sasa yuko makini sana ili asipate mtoto nje ya ndoa,lakini kwangu mimi nitamloga tu mpaka apate kuzaa na mimi, kwa kuwa ni muda sasa nina ndoto hiyo na hakuna  kitakachoweza kunizuia kwa sababu nimekuwa nikimwamini sana mganga wangu.

Diamond ambae kwa sasa amekuwa na watoto watatu wa wanawake wawili tofauti alisema kuwa hataki tena kuongeza mtoto mpaka pale atakapoamua kuoa ndipo atakapozaa tena.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.