Agness Ameniachia Pengo Kubwa Sana,:-Sabri Aongea kwa Mara ya Kwanza

Kwa mara ya kwanza, kabla na hata baada ya kifo cha Agness Masogange,  baba mzazi wa mtoto Agness amefunguka na kuelezea maisha aliyokuwa akiishi na mzazi mwenzie kipindi chote cha mika a11 pamoja na kwamba walikuwa hawaishi pamoja.

Mwanaume huyo anaejulikana kama Sabri alizaa na Agness miaka 11 iliyopita na kubahatika kupata mtoto wa kike aliyejulikana kwa jina la sania ssabri ambae kwa sasa yupo darasa la saba.

download latest music    

Sabri anasema kuwa pamoja na kwamba yeye na agness walikuwa hawaishi pamoja lakini walikuwa wakishirikiana katika amlezi na walikuwa hata wanashiriki katika kumfanya mtoto wao ajione kuwa anawazazi wote wawili hata kama walikuwa hawaishi pamoja.

Sabri anasema kuwa sania alikuwa anuwezo wa kukaa magomeni kwa baba yake na kisha akaamua kwenda makongo juu kwa alipokuwa akiihsi kwa mama yake na walikuwa hawana ugomvi wowote, hivyuo kwake kuondokewa na agness ni pigo kunwa sana kwake na kwa mtoto wao kwa sababu walikuwa wakishirikiana katika malezi ya mtoto wao lakini sasa hivi anaona kuwa malezi hayo ni jukumu lake peke yake.

Ni pigo kubwa sana kwangu na kwa mwanangu sania, alikuwa tayari ameshatozea mimi na mama yake , sasa tunaongea hapa mama yake hayupo tena , ameniachia pengo kubwa sana maishani mwangu, namuombea mwanangu Mungu ampe nguvu kwa kipindi hiki kigumu sana,.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.