Shilole Amlilia Diamond Amuoe Zari
Msanii wa muziki wa Bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole ameibuka na mapya Baada ya kumuomba Diamond amuoe Zari.
Tukio hilo lilitokea siku ya Leo katika viwanja vya Leaders Club ambapo RC Makonda alikuwa anaongea na wasanii ndipo Shilole alipoibuka na ombi lake hilo.
Shilole alimuomba Diamond arudiane na mama Watoto Wake Zarinah Hassan ambaye waliachana mwaka jana na kumtaka amuoe kabisa kwani Ndiye mwanamke anayefaa kuwa mke wake .
Tazama Video hii kwa taarifa zaidi: