Mtoto Wa Monalisa Apiga Division 1 Matokeo Ya Form Four
Mtoto wa muigizaji mkongwe wa Bongo movie Ivyonne Cherry ‘Monalisa’ na mtayarishaji wa filamu Marehemu George Otieno, Sonia Otieno amepata division katika matokeo yake ya form four.
Siku ya jana Baada ya matokeo kutoka Monalisa alishea kwenye Mitandao ya kijamii kuwa mwanaye ambaye alimaliza kidato cha nne mwaka jana amepata division 1 na hata kupata A ya hesabu.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Monalisa aliweka wazi Furaha ya binti yake kufaulu na kuandika maneno haya:
https://www.instagram.com/p/BtBI2JxF34B/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=179h5h8ajn4ag