Diamond ana Bahati ya Kupata Wanawake wazuri :-Masanja

Msanii na mchungaji na mfanyabiashara maarufu nchini Masanja mkandamizaji amefunguka na kumshangaa sana Diamond kwanini amekuwa akichelewa kuoa kwa sababu mungu amekuwa akimjalia wanawake wazuri  lakini kila siku anakwepa ndoa.

Masanja ambae aliwahi kusema kuwa Diamond anakoelekea atakuja kuoa mganga wa kienyeji kwa sababu ya kuchagua kwake, anasema kuwa anatakiwa sasa aamuae ili aoe kwa sababu kila mwanamke anayempta ni mzuri lakini hajui anakwama wapi.

download latest music    

jamaa amekuwa na bahati ya kupata wanawake wazuri wazuri tu kuna kale kamoja kalikuwa katangazaji sijui ka wapi, mwingine alikuwaga miss lakini siwezi kumsema nmaana sijui yuko wapi sasa hivi, hivi unataka nini kwa mfano au unatafuta chenye AC

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.