Mange Kimambi Amtolea Povu Zito Hamisa Mobetto
Mange Kimambi ameibuka na kumtolea Povu zito Msanii Hamisa Mobetto ambaye pia ni mdogo Wake wa hiyari Baada ya kuweka picha mtandaoni akiwa na mpenzi Wake Mpya.
Siku ya jana Mobetto aliingia kwenye vita ya mtandaoni na mrembo mwingine anayeitwa Tahiya Baada ya kumtuhumu Mobetto kwa kumchukulia mwanaume wake anayeitwa Alex.

Ili kudhihirisha kuwa Mobetto hajamuiba mwanaume bali ni Mpenzi Wake na sio wa Tahiya Hamisa aliposti picha Kupitia ukurasa wake wa Instagram akiwa na bwana huyo huku akimrushia vijembe Tahiya.
Baada ya sakata Hilo Mange alimjia Mobetto na kumtaka aache kujianika na wanaume tofauti katika mitandao ya kijamii ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram alimuandikia ujumbe huu:
https://www.instagram.com/p/Bs1kmnTAnLN/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=4sk802wnincs