Penzi la Gigy Money na Mo J Lafika Mwisho Kisa Michepuko
Video vixen na msanii wa Bongo fleva Gift Stanford ‘Gigy Money’ na Baba Watoto Wake Mo J wameachana tena Baada ya Gigy kumtuhumu Mpenzi Wake kwa michepuko.
Hivi karibuni Mo J alikumbwa na skendo ya aina yake Baada taarifa kusambaa kuwa amekuwa akimfuata mchumba wa Mc Pilipili anayeitwa Philomena na kumtongoza.

Inadaiwa kuwa Msichana huyo Ali screenshoot maongezi yao na kusambaza kwenye Mitandao ya kijamii yaliyomuonyesha Mo J akimtongoza mrembo huyo.
Basda ya kupata taarifa hizo Shilawadu walimfikishia Gigy Money ambaye alizua bonge la varangati na kusababisha yeye na Mo J kurushiana matusi ya nguoni na kuachana.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Gigy Money ameweka wazi kuwa Penzi lake na Mo J limefika ukingoni kwa ajili ya michepuko:
https://www.instagram.com/p/Bst0Db4nKJ-/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=3mtt5s5dn184