Diamond Amtambulisha Tanasha Kwa Mama Yake Mzazi
Staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz amethibitisha kuwa Penzi lake na Tanasha ni la kweli Baada ya kumtambulisha rasmi kwa Familia yake.
Kwenye utambulisho huo, Diamond aliwaalika pia ndugu, jamaa na marafiki zake. tukio lilifanyika nyumbani kwake Madale.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond ameweka video hizi zinazoonyesha tukio zima:
https://www.instagram.com/p/BslCce6FkDy/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=uhtfhnvhmvrk
https://www.instagram.com/p/BslGUDJhTCk/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=uucpxgp4ofnr