Ray C Amtumia Ujumbe Mzito Ruge Mutahaba
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva nchini Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameibuka na kumtakia ujumbe mzito Mkurugenzi wa Clouds Media group na mdau mkubwa wa muziki wa Bongo fleva Ruge Mutahaba.
Miezi michache iliyopita Ruge alianza kuugua ingawa familia yake haijawahi kuweka wazi anaumwa nini lakini kumekuwa na tetesi kuwa ana ugonjwa wa figo.
Ray C ambaye aliwahi kuongozwa kimuziki na Ruge amemtumi ujumbe mzito wa kumlilia na kumtaka apone haraka ili aweze kurudi katika nafasi yake ya zamani.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Ray c amemuandikia ujumbe huu Ruge:
https://www.instagram.com/p/BrodWomAsXt/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1jaz59t6pxypc