Mange Amtaka Ruby Apunguze Kiburi Ili Afanikiwe
Mwanaharakati wa mambo ya siasa mtandaoni Mange Kimambi ameibuka na kumchana live mwanamuziki wa Bongo fleva Ruby na kumtaka aache kiburi.
Lwa muda mrefu kumekuwa na taarifa kwamba Ruby amekuwa hana maelewano mazuri na watu anaofanya nao kazi na kupelekea kuzidi kushuka kimuziki.
Mange amempa makavu Ruby na kumtaka apunguze kiburi kama anataka kufanikiwa kwani watu wengi wanashindwa kufanya naye kazi kutokana na jeuri na kiburi.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mange amemuandikia Ruby ujumbe huu:
https://www.instagram.com/p/BqIdS2bA8qX/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=ww4uerb3oa9a