Ali Kiba Akataa Mualiko Wa Diamond Badala Yake Ampa Ofa Kupitia Mofaya
Msanii wa muziki wa Bongo fleva Ali Kiba amefunguka na kusema hataweza kushiriki katika tamasha la Wasafi Festival Kama alivyoonbwa na Mkurugenzi wa WCB Diamond Platnumz.
Siku chache zilizopita Diamond Platnumz alitangaza kumkaribisha msanii huyo kwenye tamasha hilo litakaloanza hivi karibuni Kama mmoja wa wasanii watakaopanda stejini.
Ali Kiba amefungukia mwaliko huo na kuweka wazi kuwa hataweza Kushiriki kwenye tamasha hilo kutokana na majukumu ya kinywaji chake cha Mofaya:
https://www.instagram.com/p/Bp374WbB5YB/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=165bmfx3zngd9