Babu Tale Aweka Wazi Hali Ya Hawa Baada Ya Upasuaji Wa Moyo
Meneja wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Babu Tale ambaye yupo nchini India kwa ajili ya kusimamia matibabu ya Msanii wa Hawa Said ameweka wazi kua anaendelea vyema baada ya upasuaji.
Hawa amefanyiwa upasuaji wa moyo chini ya madaktaru bingwa watano na sasa Babu Tale anasema Mrembo huyo amepata fahamu baada ya kufanyiwa upasuaji huo mkubwa.
Baada ya opersheni hiyo kufanyika Babu Tale ameandika: