Mama Diamond Ampiga Hamisa Vijembe kwa Mafanikio Yake.

Mama wa msanii Diamond Platinumz ameonyesha kupinga vikali kila maendelea anayoyapiga  moja ya wanawake waliozaa na mtoto wake Hamisa Mobeto kutokana na vijembe  anavyoamua kumrushia katika mitandao ya kijamii .

Wikiend hii ilisambaa picha ya Hamisa Mobeto akiwa amesimama na mchina mmoja huku wakionekana kupenana mikono kama ishara ya tukio muhimu lililokamilika la kusaini mikataba fulani lakini kitu cha ajabu mama wa msanii Diamond ametupia dongo ilo huku akisema kuwa kuna watu wameeenda kupiga picha na wachina Kariakoo.

download latest music    

Katika post hiyo ambayo inamuonyesha mwanamke  akiimba wimbo wa Diamond huku ikisemekana kuwa huyo ndio mwanamke aliyenae sasa hiv Diamond kutoka Nigeria, Mama Diamond alifanya ku-repsost kutoka kwa diamond huku yeye akiandika maneno yenye hashtag ya #watuwameendakariakookupigapichanawachinatuonedeal

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.