Uzinduzi wa Filamu ya Mama(+picha)
Taher 13 May mwaka huu Aunty Ezekiel aliamua kuweka historia katika maisha yake baada ya kufanya uzinduzi wa filamu yake mpya inayojulikana kwa jina la mama huku mhusika mkuu akiwa ni aunty ezekiel pamoja na mtotowake mdogo wa kike Cookie Iyobo.
Aunty ezekiel akiwa na Nice chande
Zamaradi Mketema akiongea na waandishi wa habari
Diamond platinumz alikuwepo kutoa sapoti yake.
aunty ezekiel akiwa na cookie pamoja na mume wake moze iyobo.
moze iyobo akiwa na mtoto wake cookie ambae ni mhusika mkuu katika filamu hiyo.
Diamond akiwa pamoja na mama yake mzazi