Faiza Ally Akiri Kumlilia Sugu Gerezani, Asema Penzi la Kweli Halifi

Mwanadada Faiza Ally amefunguka na kuonyesha hisia zake baada ya mtoto wake wa kike aliyezaa nae kipind akiwa katika mahusiano ya kimapenzi na mbunge na msanii wa hip-hop Mr Sugu  kutuma ujumbe na zawadi ya chocolate kwa baba yake huku yeye mwenyewe akiwa hajui kama mtoto wake alikuwa anadhamilia kutuma zawadi hiyo kwa baba yake.

Akielezea kwa uchungu, faiza ali anasema kuwa mtoto wae huyo amemliza sana na ameamini kuwa penzi la kweli kwa Sugu kutoka kwake na familia yake halkiwezi kuisha hata kama walishgaachana kitambo.

download latest music    

Nimeumia na kujikuta nikilia baada ya baba sasha kupokea zawadi ya chocolate kutoka kwa mwanae  akiwa gerezani, nimeumia sana na nimeimagine hali hiyo aliyokuwa nayo  na kama ningekuwa mimi maana nimeona ni kama movie.hata sikujua kama chocolate alizokuwa akizifungasha zilikuwa zikienda kwa baba yake, nalia na wala sikuwahi kujua kwamba kuna siku nitakuja kulia kwa sababu ya baba sashatena kwa uchungu.uwiii jamani kweli mapenzi ya kweli hayajawahi kuisha  dah!dunia ina uchungu wa kila rangi,@sashadesderia pole mamy labda unakuwa humaanishi kile ninachomaanisha mimi, au haujui uzito lakini kama mzazi imenigusa sana kutoka moyoni.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.