Davina Akiolewa Tena Naandamana:-Mayasa

mwanadada kutoka bongo movie Mayasa Mrisho amewashangaza  watu baada ya kusema kuwa rafiki yake kipenzi davina akiolewa basi yeye ataandamana kwa sababu  davina ameshazaa watoto watatu huku wakiwa wa baba tofauti na wanaume hao wamekuwa wakimuumiza sana kiasi kwamba amekuwa na machungu sana na  kuumizwa na mapenzi .

Mayasa anasema kuwa wa upand wa rafiki yake huyo Davina ameshaona kuwa hakuna haja tena ya kuendelea kuwaza maswala ya ndoa au mapenzi  kwa sasa anwaza sana maswala ya pesa kwa ajili ya kuweza kuwalea watoto wake.

download latest music    

Yaani siku Davina akiolewa tena naandamana  kwa maana wanuame wamemtenda sana jamani,sasa hivi ni muda wa kutafuta pesa tu kwa ajili ya kufanya mabo mbalimbali ya kimaisha kama anavyofanya ili aweze kuwalea watoto wake.

Hata alipoulizwa Davina mwenyewe alisema kuwa kwa sasa hana mpango wa ndoa tena zaidi ya kutafuta ela kwa ajili ya kulea watoto wake na ndio maana amekuwa akisafiri nje ya nchi ili kuweza kufanya baishara zake.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.