Diamond Athibitisha Zamaradi Kufanya kazi WCB
Katika usiku wa sinema zetu, Diamond Platunumz ambae alipata bahati ya kupndwa katika jukwaa hilo na kutoa tuzo kwa moja ya washindi alifunguka na kusema kuwa televisheni na radio yao zingewashwa siku hiyo na kuwapa moyo wasanii wa filamu nchi kwa kutangaza rasmi kuwa kutakuwa na kipindi kipya na kizuri kwa ajili ya kwasapoti wasanii wa filamu nchini.
Katika kutangaza huko, diamond alisema kuwa mwanadada zamaradi mketema ndie atakae kuwa na kipindi maarum kwa ajili ya wasanii wa filamu nchi.
Zamaradi aliwashawahi kuwa na kipindi kama hicho kilicjhokuwa kikijulikana kama take one ambacho kilikuwa kikifatilia kazi na wasanii wa bongo movies wanayoyafanya na alisaidia sana kuinua sanaa ya bongo movie.
Zamaradi amabe kwa hapo mwanzo alikuwa akifanya kipindi hicho clouds tv , sasa hivi atakuwa akipatikana huko kwa ajili ya kuinua sanaa ya Tanzania.KILA LENYE KHERI KWAKE.