“Daktari alisema shida ilikuwa pancrease..pancreatitis kitu kama hiyo” Radio Jambo’s ghettofarian presenter Liondeh talks about his medical condition
Liondeh was admitted to Mater hospital on Saturday January 14th after he developed abdominal complications.
Also read: Radio Jambo’s Liondeh and Mbusii’s Co-host admitted in hospital. This is what he’s suffering from
The Radio Jambo presenter, who was diagnosed with pancreatitis, has been released from hospital and he’s currently recuperating at home.
Liondeh spoke to his fans via a telephone call that was recorded and played by Mbusii on Teketeke drive show;
“Nisha anza ku recover,daktari alisema shida ilikuwa pancrease..pancreatitis kitu kama hiyo. Mafans wangu waendelee kuniombea, hii mwili haikutengenezwa na matope unajua tuliambiwa ilitengenezwa na matope lakini haikutengenezwa na matope… una take care of your body pia unaiheshimu. Na kwa mafans wangu ambao wamenihata pia wasikonde narudi very soon.”